top of page
Abstract Background
Search

Dkt. Zarau Kibwe Mkurugenzi Mpya Benk ya Dunia

  • nzalinextlevel
  • Oct 26, 2024
  • 1 min read

Benki ya Dunia imemchagua Mtanzania, Dk. Zarau Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita.


Uamuzi wa Dk. Kibwe kuipewa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa katika Mkutano wa Mwaka wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Benki ya Dunia, uliofanyika Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo mikutano ya mwaka ya Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia inafanyika.


Kabla ya kuchaguliwa katika nafasi hiyo, Dk. Kibwe, alihudumu katika Ofisi hiyo ya Bodi kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mshauri na Mshauri Mwandamizi kwa zaidi ya miaka saba, tangu mwaka 2017.



 
 
 

Opmerkingen


T-Mobile-Lawsuit.jpg
WhatsApp Image 2024-10-06 at 6.19.16 AM.jpeg

Lonely Nzali

Producer and Graphics Designer of this magazine The Diaspora also DallasGospel magazine..
Keep following our pages for more information about the diaspora

de59d2b2-a6d0-45ea-9f2d-4c39c1e40e8b_rw_1920.jpg
137092063_4184719214890090_5004613881637175391_n.0.jpeg

Let the posts come to you.

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • Pinterest
bottom of page