top of page
Abstract Background
Search

Bishop Apostle Danstan Maboya-Zaidi ya Miaka 45 katika kuhubiri injili

  • nzalinextlevel
  • May 18
  • 1 min read

Bishop Apostal Danstan Maboya Haule, Ni mtumishi wa Mungu kutoka nchini Tanzania, mwenye kanisa lenye makao makuu yake katika mkoa wa Morogoro, akiwa ni mwanzilishi wa makanisa ya Calvary assembles of God Tanzania yaliyoanzishwa miaka 80s kuja miaka 90s na sasa ana makanisa karibu Tanzania nzima.


Kipindi anaanza huduma katika miaka ya 80s kuja miaka 90s alipitia Changamoto za huduma, watu kushindwa kumulewa ufunuo ambao mungu aliweka ndani yake katika miaka hiyo.



Upako wake ulikuwa wa kipekee ambao ulikuwa na miujiza mikubwa na uponyaji wa hali ya juu kitu kilicho pelekea watumishi wakubwa waliomtangulia na wazazi wake wa kiroho, kuanza kumkataa kwa njinsi Mungu alivyokuwa akitumia na kumuona kama ana nguvu zingine za ziada na si za ki Mungu na hata kumsemea vibaya na hata wengine kumkimbia katika kufadhili kazi yake ya injili.

 
 
 

Opmerkingen


T-Mobile-Lawsuit.jpg
WhatsApp Image 2024-10-06 at 6.19.16 AM.jpeg

Lonely Nzali

Producer and Graphics Designer of this magazine The Diaspora also DallasGospel magazine..
Keep following our pages for more information about the diaspora

de59d2b2-a6d0-45ea-9f2d-4c39c1e40e8b_rw_1920.jpg
137092063_4184719214890090_5004613881637175391_n.0.jpeg

Let the posts come to you.

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • Pinterest
bottom of page