Search
Wanajiuliza nani atafunga Gwaji Kengere?
- nzalinextlevel
- Jul 24
- 1 min read
Josephat Gwajima, Mbunge wa Kawe, jijini Dar es Salaam, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), tangu uchaguzi wa 2020, pia ni Askofu wa Glory of Christ Church kwa usajili, maarufu Kanisa la Ufufuo na Uzima, amegonga vichwa vya habari nchini Tanzania katika siku za hivi karibuni.
Ana historia ya matukio na kauli zenye utata (ambazo tutazidurusu huko mbeleni), lakini mara hii Gwajima amejitokeza kama mkosoaji wa matukio ya utekaji na watu kupotea, ambayo yamekuwepo Tanzania kwa kipindi cha muda sasa hata baadhi ya watu waliotekwa kuuawa.

Comentários