top of page
Abstract Background
Search

Wanajiuliza nani atafunga Gwaji Kengere?

  • nzalinextlevel
  • Jul 24
  • 1 min read

Josephat Gwajima, Mbunge wa Kawe, jijini Dar es Salaam, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), tangu uchaguzi wa 2020, pia ni Askofu wa Glory of Christ Church kwa usajili, maarufu Kanisa la Ufufuo na Uzima, amegonga vichwa vya habari nchini Tanzania katika siku za hivi karibuni.


Ana historia ya matukio na kauli zenye utata (ambazo tutazidurusu huko mbeleni), lakini mara hii Gwajima amejitokeza kama mkosoaji wa matukio ya utekaji na watu kupotea, ambayo yamekuwepo Tanzania kwa kipindi cha muda sasa hata baadhi ya watu waliotekwa kuuawa.

ree

 
 
 

Comentários


T-Mobile-Lawsuit.jpg
WhatsApp Image 2024-10-06 at 6.19.16 AM.jpeg

Lonely Nzali

Producer and Graphics Designer of this magazine The Diaspora also DallasGospel magazine..
Keep following our pages for more information about the diaspora

de59d2b2-a6d0-45ea-9f2d-4c39c1e40e8b_rw_1920.jpg
137092063_4184719214890090_5004613881637175391_n.0.jpeg

Let the posts come to you.

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • Pinterest
bottom of page