top of page
Abstract Background
Search

Hondwa Mathias-Kuachia wimbo mpya "alleluyah"

  • nzalinextlevel
  • Jul 6
  • 1 min read

Hondwa Mathias ni mwimbaji wa Nyimbo za injili,kutoka familia yakitumishi ya Mch.Mathias Hondwa na alianza huduma ya Kumtumikia Mungu Mwaka 2006 huko nchini Tanzania katika jiji la Miamba Mwanza (rockcity) , na kwasasa kahamishia makazi yake katika nchi ya Marekani,


amekuwa kimya kwa mda kutokana mazingira ya Makao Mpya, ila kwa sasa anakuja upya na anatarajia  kuachia wimbo mpya Tarehe 25/7/2025 unaokwenda kwa jina “Alleluyah” kwa Mara ya kwanza nikiwa Ughaibuni.


kuwa wa kwanza Kusikiliza na kutazama wimbo huo kupitia Youtube akaunti @Hondwa Mathias link https://www.youtube.com/@hondwamathias/videos

ree

 
 
 

Comentarios


T-Mobile-Lawsuit.jpg
WhatsApp Image 2024-10-06 at 6.19.16 AM.jpeg

Lonely Nzali

Producer and Graphics Designer of this magazine The Diaspora also DallasGospel magazine..
Keep following our pages for more information about the diaspora

de59d2b2-a6d0-45ea-9f2d-4c39c1e40e8b_rw_1920.jpg
137092063_4184719214890090_5004613881637175391_n.0.jpeg

Let the posts come to you.

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • Pinterest
bottom of page