top of page
Abstract Background
Search

Neema Ng'asha miaka 15 katika muziki wa injili

  • nzalinextlevel
  • Apr 1
  • 1 min read

Neema Ng'asha,ni Muimbaji wa nyimbo za injili kutoka Tanzania. alianza kuimba tangu akiwa mtoto Sunday school.


Lakini ilipofika mwaka 1998 akiwa kidato cha pili Mungu alimupaka mafuta baada ya kushukiwa na Roho Mtakatifu kwa nguvu sana, tangu hapo akaanza kutunga nyimbo za injili.


Akaanzisha band iliyoitwa Jerusalem band ambayo walikuwa wakiimba na dada yake Martha Ng'asha na vijana wengine pale kanisani.


Mwaka 2010 baada ya kumaliza chuo pale AVU-University of Dar es salaam alingia studio na kurekodi album yake ya kwanza iliyoitwa USINIPITE MWOKOZI.


Mpaka sasa amerekodi album 3 na single nyingi ikiwemo SALAMA aliyoichia Mwezi March 2024.


Mwaka 2024 alifanikiwa kupata tuzo ya Muimbaji bora wa kike kutoka kampuni ya Eagle's Entertainment



 
 
 

Comentarios


T-Mobile-Lawsuit.jpg
WhatsApp Image 2024-10-06 at 6.19.16 AM.jpeg

Lonely Nzali

Producer and Graphics Designer of this magazine The Diaspora also DallasGospel magazine..
Keep following our pages for more information about the diaspora

de59d2b2-a6d0-45ea-9f2d-4c39c1e40e8b_rw_1920.jpg
137092063_4184719214890090_5004613881637175391_n.0.jpeg

Let the posts come to you.

  • Facebook
  • Instagram
  • Twitter
  • Pinterest
bottom of page